Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA Z
The New Life Mission
Wakristo wengi siku hizi wanaiamini nadharia ya kunyukuliwa kabla ya dhiki. Kwa kuwa wanaiamini nadharia hii potofu, inayowaeleza kuwa watanyakuliwa kabla ya kuja kwa ile Dhiki Kuu ya miaka saba, ndio maana wanaendelea kuishi maisha ya kidini ya kivivu yanayojengwa katika haki binafsi. Lakini kunyakuliwa kwa watakatifu kutatokea baada ya mapigo yatakayotokana na tarumbeta la saba, yaani hadi pigo la sita litakapokuwa limemiminwa- yaani, kunyakuliwa kutatokea baada ya kuonekana kwa Mpinga Kristo katikati ya machafuko ya kidunia, wakati ambapo watakatifu waliozaliwa tena upya watakuwa wameuawa kwa kuifia-dini, na wakati ambapo tarumbeta la saba litakapokuwa limeshapigwa. Ni wakati huo ndipo Yesu atakaposhuka toka mbinguni, na hapo ndipo ufufuo na kunyakuliwa kwa waliozaliwa tena upya kutakapotokea (1 Wathesalonike 4:16-17). Siku hii, kila mtu katika ulimwengu huu atakuwa amesimama katika njia panda kuhusiana na hatma yake ya milele. Watakatifu waliozaliwa tena upya kwa kuamini katika "injili ya maji na Roho" watafufuliwa na kunyakuliwa, kisha watakuwa warithi wa Ufalme wa Milenia na Ufalme wa Mbinguni wa milele, lakini wenye dhambi ambao hawakuweza kushiriki katika ufufuo huu wa kwanza watakutana na adhabu kuu ya mabakuli saba yatakayomiminwa na Mungu na kisha watatupwa katika moto wa milele wa kuzimu. Hivyo, ni lazima sasa uachane na nadharia potofu za kidini pamoja na tamaa na miiko potofu ya ulimwengu huu, na kisha uingie katika Neno la Mungu la kweli. Ninatumaini na kuomba ili kwamba kwa kusoma mfululizo wa vitabu vyangu juu ya injili ya maji na Roho, basi ninyi nyote mtabarikiwa kwa dhambi zenu zote kuoshelewa mbali, na kisha kuupokea ujio wa Bwana wetu mara ya pili pasipo hofu. https://www.bjnewlife.org/ https://youtube.com/@TheNewLifeMission https://www.facebook.com/shin.john.35
Kategorien: Religion und Spiritualität
Hören Sie sich die letzte Folge an:
Ufunuo 8 inaeleza juu ya mapigo ambayo Mungu atayaleta juu ya dunia hii. Moja kati ya maswali ya msingi hapa ni kwamba watakatifu watahusishwa ama kutohusishwa katika kuteseka chini ya mapigo hayo. Biblia inatueleza kuwa watakatifu pia, watayapitia mateso ya matarumbeta saba. Kati ya mapigo saba, watakatifu watayapitia mapigo yote isipokuwa ni lile pigo la mwisho. Mapigo haya saba ya matarumbeta yanayoonekana katika sura hii ni mapigo halisi ambayo Mungu atayaleta duniani. Mungu anatueleza kuwa atauadhibu ulimwengu kwa mapigo ambayo yataanza kwa sauti za matarumbeta saba ya malaika. https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
Vorherige Folgen
-
31 - SURA YA 8-1. Matarumbeta Yanayoyatangaza Mapigo Saba (Ufunuo 8:1-13) Sat, 14 Jan 2023
-
30 - SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi? Sat, 14 Jan 2023
-
29 - SURA YA 9-1. Pigo Toka Shimo Lisilo na Mwisho (Ufunuo 9:1-21) Sat, 14 Jan 2023
-
28 - SURA YA 9-2. Uwe na Imani Imara Katika Nyakati za Mwisho Sat, 14 Jan 2023
-
27 - SURA YA 10-1. Je, Unafahamu Wakati wa Kunyakuliwa ni Lini? (Ufunuo 10:1-11) Sat, 14 Jan 2023
-
26 - SURA YA 10-2. Je, Unafahamu Kunyakuliwa Kwa Watakatifu Kutatokea Lini? Sat, 14 Jan 2023
-
25 - SURA YA 11-1. Mizeituni Miwili na Manabii Wawili ni Akina Nani? (Ufunuo 11:1-19) Sat, 14 Jan 2023
-
24 - SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli Sat, 14 Jan 2023
-
23 - SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17) Sat, 14 Jan 2023
-
22 - SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti Sat, 14 Jan 2023
-
21 - SURA YA 13-1. Kutokea Kwa Mpinga Kristo (Ufunuo 13:1-18) Sat, 14 Jan 2023
-
20 - SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo Sat, 14 Jan 2023
-
19 - SURA YA 14-1. Sifa za Wafia-dini Waliofufuka na Kunyakuliwa (Ufunuo 14:1-20) Sat, 14 Jan 2023
-
18 - SURA YA 14-2. Watakatifu Wafanye Nini Mara Mpinga Kristo Atakapoonekana? Sat, 14 Jan 2023
-
17 - SURA YA 15-1. Watakatifu Wanaoyasifia Matendo ya Bwana ya Kushangaza Angani (Ufunuo 15:1-8) Sat, 14 Jan 2023
-
16 - SURA YA 15-2. Kituo cha Kugawa Hatma ya Milele Sat, 14 Jan 2023
-
15 - SURA YA 16-1. Mwanzo wa Mapigo ya Mabakuli Saba (Ufunuo 16:1-21) Sat, 14 Jan 2023
-
14 - SURA YA 16-2. Unachopaswa Kukifanya Kabla ya Kumiminwa Kwa Mabakuli Saba Ni… Sat, 14 Jan 2023
-
13 - SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18) Sat, 14 Jan 2023
-
12 - SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu Sat, 14 Jan 2023
-
11 - SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24) Sat, 14 Jan 2023
-
10 - SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake” Sat, 14 Jan 2023
-
9 - SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21) Sat, 14 Jan 2023
-
8 - SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini Sat, 14 Jan 2023
-
7 - SURA YA 20-1. Joka Atafungwa Katika Shimo la Kuzimu Lisilo na Mwisho (Ufunuo 20:1-15) Sat, 14 Jan 2023
-
6 - SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani? Sat, 14 Jan 2023
-
5 - SURA YA 21-1. Mji Mtakatifu Unaoshuka Toka Mbinguni (Ufunuo 21:1-27) Sat, 14 Jan 2023
-
4 - SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu Sat, 14 Jan 2023
-
3 - SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21) Sat, 14 Jan 2023
-
2 - SURA YA 22-2. Uwe na Furaha na Thabiti Katika Tumaini la Utukufu Sat, 14 Jan 2023
-
1 - Maswali & Majibu Sat, 14 Jan 2023